Mojim Lyrics
Mojim Lyrics > Americas singers > Leteipa the King > Baki na Mimi > Baki na Mimi

Leteipa the King



Lyrics
Album list

Leteipa the King

Baki na Mimi

INTRO;
Ni vampK 254. Mhhhhh

VERSE 1:
Kukutazama, Ukitabasamu
Nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
We ndo kitabu, Mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako, Kama masai na Rubeka
Ninatamani ningewa yako mavazi
Nikusitiri nikuguse Kila wakati
Ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe Mokimo ama chapati

HOOK:
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Kamba za viatu babe, mi nikufungie

CHORUS:
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Find more lyrics at ※ Mojim.com

VERSE 2:
Nakama ungewa, mwanasiasa,ninge piga kampeni zako
Nikusifie, kwa giza na mwangaza, mpaka kwa maadui zako
Nitakubusu bila woga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ungewa kijiko lazma ningewa sahani
Kututenganisha Hilo haliwezekani

HOOK:
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie


CHORUS:
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa